Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu imedhihirishwa kwa waasi wote waipingao kweli kwa uovu, ikimaanisha kwa wale wote wenye dhambi na kuzuia ukweli kwa mawazo yao.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Hebu tuzungumzie juu ya sheria. Paulo Mtumie aliwaambia Wayahudi walio ifuata sheria “kwa hiyo wewe mtu uwaye yote uhukumuye, huna udhuru, kwa maana katika...
Akindelea kutoka sura ya 2, Mtume Paulo alitaja katika sura hii kwamba Wayahudi hawana upendeleo zaidi ya watu wa Mataifa. Katika sura hii, Paulo...
Leo, napenda kuzungumzia juu ya asili ya dhambi. Je, unawaza moyoni huku ukisema, “Ah, huyu naye, kila siku anazungumzia mambo yale yale. Hebu nieleze...