SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Episode 5 January 13, 2023 00:48:35
SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Jan 13 2023 | 00:48:35

/

Show Notes

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu imedhihirishwa kwa waasi wote waipingao kweli kwa uovu, ikimaanisha kwa wale wote wenye dhambi na kuzuia ukweli kwa mawazo yao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 17

January 13, 2023 00:25:36
Episode Cover

SURA YA 6-2. Maana halisi ya ubatizo wa Yesu (Warumi 6:1-8)

Tunamwita Yohana, aliyembatiza Yesu, Yohana Mbatizaji. Sasa, nini maana ya ubatizo? “Ubatizo” kwa Kiyunani “babtizo” maana yake “kuzamisha” na maana kuu iliyo muhimu ya...

Listen

Episode 13

January 13, 2023 00:36:42
Episode Cover

SURA YA 4-2. Wale wapokeao Baraka za Mbinguni kwa Imani (Warumi 4:1-8)

Nampa Bwana shukrani kwa kuokoa nafsi nyingi nyakati hizi. Biblia inazungumiza juu watu walio na heri katika Warumi sura ya 4, hivyo ningependa kuzungumiza...

Listen

Episode 12

January 13, 2023 00:33:33
Episode Cover

SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye...

Listen