SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Episode 5 January 13, 2023 00:48:35
SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Jan 13 2023 | 00:48:35

/

Show Notes

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu imedhihirishwa kwa waasi wote waipingao kweli kwa uovu, ikimaanisha kwa wale wote wenye dhambi na kuzuia ukweli kwa mawazo yao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 3

January 13, 2023 00:35:36
Episode Cover

SURA YA 1-3. Mwenye haki ataishi kwa Imani (Warumi 1:17)

Je, wenye haki huishi kwa namna ipi? Kwa imani. Wenye haki huishi kwa imani. Ukweli ni kwamba neno “Imani” ni la kawaida, lakini ni...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:54:15
Episode Cover

SURA YA 3-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 3

Akindelea kutoka sura ya 2, Mtume Paulo alitaja katika sura hii kwamba Wayahudi hawana upendeleo zaidi ya watu wa Mataifa. Katika sura hii, Paulo...

Listen

Episode 1

January 13, 2023 00:48:26
Episode Cover

SURA YA 1-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 1

“Waraka wa Paulo Mtume kwa Warumi” unaweza kuchuliwa kuwa ni hazina ya Biblia. Inahusika zaidi na namna ya mtu awezavyo kupata haki ya Mungu...

Listen