SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Episode 10 January 13, 2023 01:05:13
SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Jan 13 2023 | 01:05:13

/

Show Notes

Mtume Paulo anasema kwamba kukamilishwa kwa sheria na ukombozi wa rehema ya Mungu havikuletwa kwetu kwa njia ya matendo yetu bali kwa imani. Tuliokolewa toka dhambini mwetu na hatimaye kuwa wenye haki kwa kupitia wokovu wa Mungu. “Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwa faa nini? Kwa faa sana kwa kila njia, kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausi ya Mungu. Ni nini basi ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu? Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo” (Warumi 3:1-4).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 11

January 13, 2023 00:29:35
Episode Cover

SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)

Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.”...

Listen

Episode 13

January 13, 2023 00:36:42
Episode Cover

SURA YA 4-2. Wale wapokeao Baraka za Mbinguni kwa Imani (Warumi 4:1-8)

Nampa Bwana shukrani kwa kuokoa nafsi nyingi nyakati hizi. Biblia inazungumiza juu watu walio na heri katika Warumi sura ya 4, hivyo ningependa kuzungumiza...

Listen

Episode 17

January 13, 2023 00:25:36
Episode Cover

SURA YA 6-2. Maana halisi ya ubatizo wa Yesu (Warumi 6:1-8)

Tunamwita Yohana, aliyembatiza Yesu, Yohana Mbatizaji. Sasa, nini maana ya ubatizo? “Ubatizo” kwa Kiyunani “babtizo” maana yake “kuzamisha” na maana kuu iliyo muhimu ya...

Listen