SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Episode 10 January 13, 2023 01:05:13
SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Jan 13 2023 | 01:05:13

/

Show Notes

Mtume Paulo anasema kwamba kukamilishwa kwa sheria na ukombozi wa rehema ya Mungu havikuletwa kwetu kwa njia ya matendo yetu bali kwa imani. Tuliokolewa toka dhambini mwetu na hatimaye kuwa wenye haki kwa kupitia wokovu wa Mungu. “Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwa faa nini? Kwa faa sana kwa kila njia, kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausi ya Mungu. Ni nini basi ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu? Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo” (Warumi 3:1-4).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 16

January 13, 2023 00:25:28
Episode Cover

SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme...

Listen

Episode 15

January 13, 2023 01:04:04
Episode Cover

SURA YA 5-2. Kwa njia ya Mtu Mmoja (Warumi 5:14)

Leo, napenda kuzungumzia juu ya asili ya dhambi. Je, unawaza moyoni huku ukisema, “Ah, huyu naye, kila siku anazungumzia mambo yale yale. Hebu nieleze...

Listen

Episode 7

January 13, 2023 00:37:56
Episode Cover

SURA YA 2-2. Wale wenye kuidharau Neema ya Mungu (Warumi 2:1-16)

Hebu tuzungumzie juu ya sheria. Paulo Mtumie aliwaambia Wayahudi walio ifuata sheria “kwa hiyo wewe mtu uwaye yote uhukumuye, huna udhuru, kwa maana katika...

Listen