SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)

Episode 11 January 13, 2023 00:29:35
SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)

Jan 13 2023 | 00:29:35

/

Show Notes

Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.” Sisi sote ni wenye dhambi mbele ya Mungu kwa sababu ya miili. Je, mtu aweza kuwa mwenye haki kwa mwili wake binafsi? Je, kuna mwenye haki kwa asili mbele ya Mungu? Mwanadamu kamwe hawezi kuwa mwenye haki kwa kutegemia mwili. Mwili hautoweza kuwa wenye haki pasipo kukombelewa toka dhambini kupitia Yesu Kristo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 12

January 13, 2023 00:33:33
Episode Cover

SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:18:01
Episode Cover

SURA YA 1-4. Mwenye haki huishi kwa Imani (Warumi 1:17-18)

Imeandikwa “Mwenye haki ataishi kwa imani” Je, tunaishi kwa imani au la? Njia pekee ya mwenye haki kuishi ni kwa imani. Imani ndiyo imwezeshayo...

Listen

Episode 13

January 13, 2023 00:36:42
Episode Cover

SURA YA 4-2. Wale wapokeao Baraka za Mbinguni kwa Imani (Warumi 4:1-8)

Nampa Bwana shukrani kwa kuokoa nafsi nyingi nyakati hizi. Biblia inazungumiza juu watu walio na heri katika Warumi sura ya 4, hivyo ningependa kuzungumiza...

Listen