Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.” Sisi sote ni wenye dhambi mbele ya Mungu kwa sababu ya miili. Je, mtu aweza kuwa mwenye haki kwa mwili wake binafsi? Je, kuna mwenye haki kwa asili mbele ya Mungu? Mwanadamu kamwe hawezi kuwa mwenye haki kwa kutegemia mwili. Mwili hautoweza kuwa wenye haki pasipo kukombelewa toka dhambini kupitia Yesu Kristo.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Mtume Paulo anatuambia namna ya mwenye haki impasavyo kuishi baada ya kuokolewa toka dhambini katika Warumi sura ya 6. Ameainisha “Imani” pamoja tena na...
Paulo Mtume hakuionea haya Injili ya Kristo. Alitamka juu ya Injili. Hata hivyo, moja ya sababu ambayo watu wengi hulia ingawa wanamwamini Yesu ni...
Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme...