SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Episode 12 January 13, 2023 00:33:33
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Jan 13 2023 | 00:33:33

/

Show Notes

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye matendo yake ya uovu yamesamehewa na dhambi zake kusitiriwa. Hivyo Paulo anatamka “Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi” (Warumi 4:8).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 13, 2023 00:48:35
Episode Cover

SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 00:58:59
Episode Cover

SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

Katika ulimwengu huu yapo makundi mawili, Wayahudi na Wakristo wamwaminio Mungu na kati ya watu hawa wapo wale wenye kumwamini Yesu na wale wasio...

Listen

Episode 7

January 13, 2023 00:37:56
Episode Cover

SURA YA 2-2. Wale wenye kuidharau Neema ya Mungu (Warumi 2:1-16)

Hebu tuzungumzie juu ya sheria. Paulo Mtumie aliwaambia Wayahudi walio ifuata sheria “kwa hiyo wewe mtu uwaye yote uhukumuye, huna udhuru, kwa maana katika...

Listen