SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Episode 12 January 13, 2023 00:33:33
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Jan 13 2023 | 00:33:33

/

Show Notes

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye matendo yake ya uovu yamesamehewa na dhambi zake kusitiriwa. Hivyo Paulo anatamka “Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi” (Warumi 4:8).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 13, 2023 00:18:01
Episode Cover

SURA YA 1-4. Mwenye haki huishi kwa Imani (Warumi 1:17-18)

Imeandikwa “Mwenye haki ataishi kwa imani” Je, tunaishi kwa imani au la? Njia pekee ya mwenye haki kuishi ni kwa imani. Imani ndiyo imwezeshayo...

Listen

Episode 16

January 13, 2023 00:25:28
Episode Cover

SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme...

Listen

Episode 18

January 13, 2023 00:32:40
Episode Cover

SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)

Mtume Paulo anatuambia namna ya mwenye haki impasavyo kuishi baada ya kuokolewa toka dhambini katika Warumi sura ya 6. Ameainisha “Imani” pamoja tena na...

Listen