SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Episode 12 January 13, 2023 00:33:33
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Jan 13 2023 | 00:33:33

/

Show Notes

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye matendo yake ya uovu yamesamehewa na dhambi zake kusitiriwa. Hivyo Paulo anatamka “Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi” (Warumi 4:8).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 13, 2023 00:25:38
Episode Cover

SURA YA 2-3. Tohara ni ya Moyo (Warumi 2:17-29)

“Tohara ni ya moyo.” Tunaokolewa pale tunapo amini kwa moyo. Yatupasa kuokolewa moyoni. Mungu anasema “tohara ni ya moyo katika roho si katika andiko...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 00:58:59
Episode Cover

SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

Katika ulimwengu huu yapo makundi mawili, Wayahudi na Wakristo wamwaminio Mungu na kati ya watu hawa wapo wale wenye kumwamini Yesu na wale wasio...

Listen

Episode 15

January 13, 2023 01:04:04
Episode Cover

SURA YA 5-2. Kwa njia ya Mtu Mmoja (Warumi 5:14)

Leo, napenda kuzungumzia juu ya asili ya dhambi. Je, unawaza moyoni huku ukisema, “Ah, huyu naye, kila siku anazungumzia mambo yale yale. Hebu nieleze...

Listen