SURA YA 5-2. Kwa njia ya Mtu Mmoja (Warumi 5:14)

Episode 15 January 13, 2023 01:04:04
SURA YA 5-2. Kwa njia ya Mtu Mmoja (Warumi 5:14)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 5-2. Kwa njia ya Mtu Mmoja (Warumi 5:14)

Jan 13 2023 | 01:04:04

/

Show Notes

Leo, napenda kuzungumzia juu ya asili ya dhambi. Je, unawaza moyoni huku ukisema, “Ah, huyu naye, kila siku anazungumzia mambo yale yale. Hebu nieleze mambo mengine mapya!” Basi napenda unisikilize kwa makini. Injili ni habari iliyo ya thamani kupitia chochote. Ikiwa mtakatifu ambaye dhambi zake zimefutwa asipo irudia mara kwa mara Injili, ili kujikumbusha kila siku atakufa. Itawezekanaje aweze kuishi pasipo kuisikia Injili ya maji na Roho? Njia pekee ya kuweza kuishi ni kwa kuisikiliza Injili. Hebu basi tufungue Biblia zetu na tushirikishane maana kamili zilizomo ndani yake.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 13, 2023 01:05:13
Episode Cover

SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Mtume Paulo anasema kwamba kukamilishwa kwa sheria na ukombozi wa rehema ya Mungu havikuletwa kwetu kwa njia ya matendo yetu bali kwa imani. Tuliokolewa...

Listen

Episode 2

January 13, 2023 00:37:40
Episode Cover

SURA YA 1-2. Haki ya Mungu iliyo dhihirishwa katika Injili (Warumi 1:16-17)

Paulo Mtume hakuionea haya Injili ya Kristo. Alitamka juu ya Injili. Hata hivyo, moja ya sababu ambayo watu wengi hulia ingawa wanamwamini Yesu ni...

Listen

Episode 16

January 13, 2023 00:25:28
Episode Cover

SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme...

Listen