Leo, napenda kuzungumzia juu ya asili ya dhambi. Je, unawaza moyoni huku ukisema, “Ah, huyu naye, kila siku anazungumzia mambo yale yale. Hebu nieleze mambo mengine mapya!” Basi napenda unisikilize kwa makini. Injili ni habari iliyo ya thamani kupitia chochote. Ikiwa mtakatifu ambaye dhambi zake zimefutwa asipo irudia mara kwa mara Injili, ili kujikumbusha kila siku atakufa. Itawezekanaje aweze kuishi pasipo kuisikia Injili ya maji na Roho? Njia pekee ya kuweza kuishi ni kwa kuisikiliza Injili. Hebu basi tufungue Biblia zetu na tushirikishane maana kamili zilizomo ndani yake.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Akindelea kutoka sura ya 2, Mtume Paulo alitaja katika sura hii kwamba Wayahudi hawana upendeleo zaidi ya watu wa Mataifa. Katika sura hii, Paulo...
Tunamwita Yohana, aliyembatiza Yesu, Yohana Mbatizaji. Sasa, nini maana ya ubatizo? “Ubatizo” kwa Kiyunani “babtizo” maana yake “kuzamisha” na maana kuu iliyo muhimu ya...
Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.”...