SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Episode 14 January 13, 2023 00:39:03
SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Jan 13 2023 | 00:39:03

/

Show Notes

Paulo alitamka kwa imani katika sura hii kwamba wale wote wenye kuamini haki ya Mungu “ndiyo walio na amami na Mungu” sababu ya hili ni kwamba Baba Mungu alimfanya Kristo abatizwe kwa ajili yetu na hata kumfanya pia amwage damu yake msalabani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 18

January 13, 2023 00:32:40
Episode Cover

SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)

Mtume Paulo anatuambia namna ya mwenye haki impasavyo kuishi baada ya kuokolewa toka dhambini katika Warumi sura ya 6. Ameainisha “Imani” pamoja tena na...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:48:35
Episode Cover

SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu...

Listen

Episode 11

January 13, 2023 00:29:35
Episode Cover

SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)

Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.”...

Listen