SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Episode 14 January 13, 2023 00:39:03
SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Jan 13 2023 | 00:39:03

/

Show Notes

Paulo alitamka kwa imani katika sura hii kwamba wale wote wenye kuamini haki ya Mungu “ndiyo walio na amami na Mungu” sababu ya hili ni kwamba Baba Mungu alimfanya Kristo abatizwe kwa ajili yetu na hata kumfanya pia amwage damu yake msalabani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 12

January 13, 2023 00:33:33
Episode Cover

SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye...

Listen

Episode 1

January 13, 2023 00:48:26
Episode Cover

SURA YA 1-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 1

“Waraka wa Paulo Mtume kwa Warumi” unaweza kuchuliwa kuwa ni hazina ya Biblia. Inahusika zaidi na namna ya mtu awezavyo kupata haki ya Mungu...

Listen

Episode 10

January 13, 2023 01:05:13
Episode Cover

SURA YA 3-2. Wokovu toka dhambini ni kwa njia ya imani tu! (Warumi 3:1-31)

Mtume Paulo anasema kwamba kukamilishwa kwa sheria na ukombozi wa rehema ya Mungu havikuletwa kwetu kwa njia ya matendo yetu bali kwa imani. Tuliokolewa...

Listen