SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Episode 16 January 13, 2023 00:25:28
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Jan 13 2023 | 00:25:28

/

Show Notes

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi? Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo kaitka mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzma.”

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 3

January 13, 2023 00:35:36
Episode Cover

SURA YA 1-3. Mwenye haki ataishi kwa Imani (Warumi 1:17)

Je, wenye haki huishi kwa namna ipi? Kwa imani. Wenye haki huishi kwa imani. Ukweli ni kwamba neno “Imani” ni la kawaida, lakini ni...

Listen

Episode 8

January 13, 2023 00:25:38
Episode Cover

SURA YA 2-3. Tohara ni ya Moyo (Warumi 2:17-29)

“Tohara ni ya moyo.” Tunaokolewa pale tunapo amini kwa moyo. Yatupasa kuokolewa moyoni. Mungu anasema “tohara ni ya moyo katika roho si katika andiko...

Listen

Episode 12

January 13, 2023 00:33:33
Episode Cover

SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye...

Listen