SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Episode 16 January 13, 2023 00:25:28
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Jan 13 2023 | 00:25:28

/

Show Notes

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi? Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo kaitka mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzma.”

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 3

January 13, 2023 00:35:36
Episode Cover

SURA YA 1-3. Mwenye haki ataishi kwa Imani (Warumi 1:17)

Je, wenye haki huishi kwa namna ipi? Kwa imani. Wenye haki huishi kwa imani. Ukweli ni kwamba neno “Imani” ni la kawaida, lakini ni...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 00:58:59
Episode Cover

SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

Katika ulimwengu huu yapo makundi mawili, Wayahudi na Wakristo wamwaminio Mungu na kati ya watu hawa wapo wale wenye kumwamini Yesu na wale wasio...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:48:35
Episode Cover

SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu...

Listen