SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Episode 16 January 13, 2023 00:25:28
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Jan 13 2023 | 00:25:28

/

Show Notes

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi? Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo kaitka mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzma.”

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 13, 2023 00:48:35
Episode Cover

SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu...

Listen

Episode 12

January 13, 2023 00:33:33
Episode Cover

SURA YA 4-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 4

Katika Warumi 4:6-8 Paulo anazungumzia juu ya watu walio barikiwa mbele ya Mungu. Mtu aliye barikiwa kwa hakika mbele ya Mungu ni yule ambaye...

Listen

Episode 18

January 13, 2023 00:32:40
Episode Cover

SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)

Mtume Paulo anatuambia namna ya mwenye haki impasavyo kuishi baada ya kuokolewa toka dhambini katika Warumi sura ya 6. Ameainisha “Imani” pamoja tena na...

Listen