SURA YA 3-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 3

Episode 9 January 13, 2023 00:54:15
SURA YA 3-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 3
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 3-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 3

Jan 13 2023 | 00:54:15

/

Show Notes

Akindelea kutoka sura ya 2, Mtume Paulo alitaja katika sura hii kwamba Wayahudi hawana upendeleo zaidi ya watu wa Mataifa. Katika sura hii, Paulo alilinganisha sheria na ile kanuni ya haki ya Mungu kabla ya kuzungumzia sheria ya haki ya Mungu inayo mruhusu mwenye dhambi kupokea haki yake na hatimaye uzima wa kweli. Pia alifafanua katika sura hiyo juu ya wokovu toka dhambini kuwa si kupitia matendo yetu bali kupitia imani katika haki ya Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 16

January 13, 2023 00:25:28
Episode Cover

SURA YA 6-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 6

Je, unaifahamu na kuiamini siri ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana? Ningependa kukueleza juu ya siri hiyo kupitia Warumi 6:1-4 “Tuseme...

Listen

Episode 7

January 13, 2023 00:37:56
Episode Cover

SURA YA 2-2. Wale wenye kuidharau Neema ya Mungu (Warumi 2:1-16)

Hebu tuzungumzie juu ya sheria. Paulo Mtumie aliwaambia Wayahudi walio ifuata sheria “kwa hiyo wewe mtu uwaye yote uhukumuye, huna udhuru, kwa maana katika...

Listen

Episode 14

January 13, 2023 00:39:03
Episode Cover

SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Paulo alitamka kwa imani katika sura hii kwamba wale wote wenye kuamini haki ya Mungu “ndiyo walio na amami na Mungu” sababu ya hili...

Listen