SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)

Episode 18 January 13, 2023 00:32:40
SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)
SURA YA 6-3. Vitoeni viungo vyenu kuwa silaha za haki (Warumi 6:12-19)

Jan 13 2023 | 00:32:40

/

Show Notes

Mtume Paulo anatuambia namna ya mwenye haki impasavyo kuishi baada ya kuokolewa toka dhambini katika Warumi sura ya 6. Ameainisha “Imani” pamoja tena na ubatizo wa Yesu. Dhambi zetu zilisamehewa mara moja na kwa wakatika wote kupitia imani ya ubatizo, msalaba na ufufuko wa Yesu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 2

January 13, 2023 00:37:40
Episode Cover

SURA YA 1-2. Haki ya Mungu iliyo dhihirishwa katika Injili (Warumi 1:16-17)

Paulo Mtume hakuionea haya Injili ya Kristo. Alitamka juu ya Injili. Hata hivyo, moja ya sababu ambayo watu wengi hulia ingawa wanamwamini Yesu ni...

Listen

Episode 14

January 13, 2023 00:39:03
Episode Cover

SURA YA 5-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 5

Paulo alitamka kwa imani katika sura hii kwamba wale wote wenye kuamini haki ya Mungu “ndiyo walio na amami na Mungu” sababu ya hili...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:48:35
Episode Cover

SURA YA 1-5. Waipingao kweli kwa uovu (Warumi 1:18-25)

Tunaweza kuona kwamba Paulo Mtume alihubiri Injili ile ile ambayo nasi leo tunaihubiri. Je, ni kwa nini ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa? Hukumu ya Mungu...

Listen